Ufunuo 13:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20021 Kisha nikaona nyama mumoja wa ajabu akitokea ndani ya bahari. Alikuwa na vichwa saba na pembe kumi. Na juu ya kila pembe lake kulikuwa taji, na juu ya vichwa vile kulikuwa kumeandikwa jina la kumutukana Mungu. Gade chapit la |