Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Tito 2:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Vilevile uwaonye vijana wanaume wakuwe wenye utaratibu katika mambo yote.

Gade chapit la Kopi




Tito 2:6
9 Referans Kwoze  

Ukumbuke Muumba wako siku za ujana wako wakati hazijafika siku mbaya wala haijakaribia miaka utakaposema: “Sina furaha katika vitu hivyo.”


Na hivi vilevile, ninyi vijana, munapaswa kuwatii hao wazee. Ninyi wote munapaswa kuwa na unyenyekevu, mupate kutumikiana; maana Maandiko Matakatifu yanasema: “Mungu anawapinga wenye kiburi, lakini anawajalia wanyenyekevu neema.”


Ninawaandikia ninyi wababa, kwa sababu mumemujua yule aliyekuwa tangu mwanzo wa vitu vyote. Ninawaandikia ninyi vijana kwa sababu mumemushinda yule Mwovu.


Ewe kijana, furahia ujana wako, moyo wako ukuwe na raha wakati ungali kijana. Fuata mapenzi ya moyo wako na tamaa ya macho yako. Lakini kumbuka kwamba Mungu atakuhukumu kadiri ya hayo yote.


Usimukaripie muzee kwa nguvu, lakini umwonye kama baba yako. Uwatendee vijana wanaume kama wandugu zako,


Mumusifu, enyi vijana wanaume na wabinti; wazee wote na watoto!


vijana waliponiona walisimama pembeni, na wazee walisimama wima kwa heshima.


Basi tusilale usingizi kama vile wengine, lakini tukeshe na kuwa wakadirifu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite