Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Ruta 4:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Boazi akasema: “Ni vizuri, lakini ukilinunua hilo shamba kutoka kwa Naomi, ni sherti umutwae vilevile Ruta wa Moabu, mujane ambaye ni jamaa wa marehemu, kusudi shamba hilo libaki katika jamaa ya yule marehemu.”

Gade chapit la Kopi




Ruta 4:5
6 Referans Kwoze  

Wakamwuliza: “Mwalimu, Musa alisema: ‘Mutu akikufa bila kuacha mutoto, ndugu yake anapaswa kumwoa yule mujane na kumuzalia marehemu watoto.’


Basi, Yuda akamwambia Onani: “Umutwae muke wa ndugu yako marehemu, maana vile ndivyo inavyokupasa kufanya, upate kumuzalia ndugu yako watoto.”


“Mwalimu, Musa alituamuru: Mutu akiwa na ndugu yake, naye akikufa na kuacha muke wake bila mutoto, yule ndugu yake anapaswa kumwoa yule mujane na kumuzalia ndugu yake marehemu watoto.


Lakini kama huyo ndugu wa marehemu hamutaki huyo mwanamuke mujane, basi, mwanamuke huyo atakwenda mbele ya wazee wa muji na kusema: ‘Kaka wa mume wangu marehemu anakataa kuendelesha jina la kaka yake marehemu katika Israeli; hapendi kunitimizia madaraka yake ya kaka wa mume wangu marehemu’.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite