Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Ruta 4:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Yawe akupatie watoto wengi kwa njia ya mwanamuke huyu, na jamaa yako ikuwe kama ya Peresi ambaye Tamari alimuzalia Yuda.”

Gade chapit la Kopi




Ruta 4:12
8 Referans Kwoze  

Lakini yule mutoto alipourudisha mukono wake ndani, ndugu yake akazaliwa wa kwanza. Muzalishaji akasema: “Mbona wewe umepita kwa nguvu?” Kwa hiyo akaitwa Peresi.


Eli aliwabariki Elekana na muke wake, akisema: “Yawe akupe wewe Elekana watoto wengine kwa mwanamuke huyu kusudi wakamate nafasi ya yule uliyemupa Yawe.” Kisha wao walirudi kwao.


Yuda na wana wake: Eri, Onani, Sela, Peresi na Zera. (Lakini Eri na Onani walikufa katika inchi ya Kanana). Wana wa Peresi walikuwa Hesironi na Hamuli.


Na hivi ndivyo vizazi vya Peresi: Peresi alimuzaa Hesironi,


Mungu hakuwafanya ninyi wote wawili mukuwe mwili mumoja na roho moja? Alikusudia nini alipofanya hayo? Tuzae watoto wanaomupendeza Mungu. Kwa hiyo, muchunge uzima wenu na kuhakikisha kwamba hakuna hata mumoja wenu anayekosa uaminifu kwa muke wake.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite