Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Ruta 2:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Zaidi ya pale, muchomoe masuke kutoka katika miganda na mumwachie aokote bila kumukaripia.”

Gade chapit la Kopi




Ruta 2:16
11 Referans Kwoze  

Muwasaidie watu wa Mungu katika mahitaji yao na muwakaribishe wageni.


Kwa maana Mungu ni mwenye haki. Yeye hatasahau kazi yenu na upendo mulioonyesha kwa ajili yake kwa namna mulivyowasaidia watu wake na munavyoendelea kuwasaidia.


Ndugu, upendo wako umenifurahisha sana na kunifariji, kwa maana umetuliza mioyo ya watu wa Mungu.


Mufalme atawajibu: ‘Kweli ninawaambia: kila kitu mulichokitendea mumoja wa hawa wandugu zangu wanaohesabiwa kuwa wadogo, mulinitendea mimi.’


Anayemusaidia masikini anamukopesha Yawe; Yawe atamulipa kwa tendo lake jema.


Anatoa kwa moyo safi, anawapa wamasikini. Haki yake inadumu milele. Ana nguvu na sifa.


Naye Ruta alipoendelea kuokota mavuno, Boazi akawaambia watumishi wake: “Muache akusanye hata pahali miganda inapokuwa wala musimukaripie.


Basi Ruta akaendelea kuokota masuke mpaka magaribi; na kisha kupepeta hiyo shayiri alipata kilo makumi tatu na zaidi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite