Ruta 2:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
10 Hapo Ruta akamwinamia Boazi uso mpaka chini kwa unyenyekevu, akamwambia: “Nimepata namna gani kukubaliwa mbele yako? Mbona unanishugulikia ijapokuwa mimi ni mugeni tu?”
Ruta akamujibu: “Bwana, wewe umenifanyia wema mukubwa sana. Ingawa mimi si kama mumoja wa watumishi wako, nimetosheka kwa sababu umenifariji sana na kuongea nami kwa upendo.”
Siku moja, Ruta wa Moabu akamwambia Naomi: “Muniruhusu niende kukusanya masalio ya mavuno pahali nitakapopata kukubaliwa na mwenye shamba.” Naomi akamwambia: “Basi, uende binti yangu.”
Alipoinua macho yake, akaona watu watatu wakisimama mbali kidogo mbele yake. Mara tu alipowaona, akakimbia kutoka kwenye mulango wa hema yake, akakwenda kuwapokea. Alipowafikia akainama kwa heshima
Angalia pahali wanapovuna ufuate nyuma yao. Nimewaonya vijana hawa wasikusumbue. Na ukisikia kiu, kwenda kwenye mitungi na ukunywe maji vijana hao waliyoyateka.”
Lakini Boazi akamujibu: “Nimeyasikia yote uliyomufanyia mama mukwe wako tangu mume wako alipokufa. Ninajua jinsi ulivyowaacha wazazi wako, ukaiacha inchi yako, na jinsi ulivyokuja kuishi kati ya watu ambao haukuwajua tangu zamani.
Huyo mugeni anayekaa nawe atakuwa kwako kama vile mwenyeji nawe utamupenda kama vile unavyojipenda mwenyewe, kwa sababu nawe ulikuwa mugeni katika inchi ya Misri. Mimi ni Yawe, Mungu wenu.
Basi mama mukwe wake akamwuliza: “Uliokota wapi haya yote? Ulikuwa katika shamba la nani? Abarikiwe yule aliyekutendea wema.” Hapo Ruta akamwambia Naomi kwamba alikuwa akifanya kazi katika shamba la mutu aliyeitwa Boazi.
Kisha mufalme Daudi akaingia ndani na kuikaa mbele ya Yawe; halafu akaomba: “Mimi ni nani, ee Bwana wangu Yawe, na jamaa yangu ni nini hata ukaniinua mpaka hapa ninapokuwa leo!