4 Vijana hao walioa wabinti wa Kimoabu, Orupa na Ruta. Nyuma ya miaka kumi hivi,
“Na mwana haramu yeyote, wala muzao wake hata kizazi cha kumi, haruhusiwi kuingia katika kusanyiko la watu wa Yawe.
Musioane nayo, wala musiyaoeshee wabinti zenu au wana wenu.
Lakini Elimeleki, mume wa Naomi, akakufa na Naomi akaachwa na wana wake.
Malona na Kiliona nao vilevile wakakufa.
Tena wakati ule nikaona Wayuda waliooa wanawake toka Asidodi, Amoni na Moabu;