Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Ruta 1:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 mungeweza kungoja mpaka wakomae? Mungeweza kujizuia musiolewe na wanaume wengine? Sivyo, wabinti zangu! Mambo yangu ni magumu sana kwa ajili yenu, maana Yawe amenipiga pigo.”

Gade chapit la Kopi




Ruta 1:13
11 Referans Kwoze  

Munionee huruma, munionee huruma, enyi warafiki zangu; maana mukono wa Mungu umenigusa.


Muchana na usiku mukono wako ulinilemea; nguvu zangu zikakwisha, kama maji yanavyokauka wakati wa kipwa.


Kila mara walipokwenda kupigana, mukono wa Yawe ulipambana nao kwa kuwaletea hasara, kama alivyokuwa amewaonya na kuapa. Nao wakakuwa katika huzuni kubwa.


Ee Yawe, usiniazibu kwa hasira yako, usiniadibishe kwa kasirani yako.


Kisha wakatuma ujumbe na kukusanya wakubwa wa Wafilistini na kuwaambia: “Mulirudishe Sanduku la Mungu wa Israeli kwa nafasi yake, kusudi lisituue sisi pamoja na watu wetu.” Walifanya hivyo kwa sababu kulikuwa hofu kubwa katika muji muzima kwa sababu Mungu alikuwa anawaazibu vikali.


Yawe mwenyewe akawashambulia watu hao kwa kuwaangamiza huko katika kambi, hata wote wakaisha.


Halafu Yuda akamwambia Tamari, muke wa mwana wake: “Rudi kwa nyumba ya baba yako, ubaki mujane mpaka wakati mwana wangu Sela atakapokomaa.” Yuda hakutaka Sela naye akufe kama vile wandugu zake. Basi, Tamari akarudi kwa nyumba ya baba yake.


Murudi kwenu wabinti zangu, kwa maana mimi ni muzee sana, siwezi kuolewa tena. Hata kama ningesema nina tumaini, na hata kama ningepata mume usiku huu na kupata watoto,


Kwa hiyo wakalalamika wakaanza kulia tena. Halafu Orupa akamukumbatia mama mukwe wake, akamwaga na kurudi kwao. Lakini Ruta, akashikamana naye.


Nilipoondoka hapa, nilikuwa na vitu vingi, lakini sasa Yawe amenirudisha mikono mitupu. Mbona munaniita Naomi ijapokuwa Yawe ameniazibu, naye Mungu Mwenye Nguvu amenitesa?”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite