10 na kumwambia: “Hapana hata kidogo! Tutakwenda pamoja nawe kwa watu wako.”
Yawe wa majeshi anasema hivi: Wakati ule, watu kumi kutoka mataifa ya kila luga watamukamatilia Muyuda mumoja na kushika nguo yake na kumwambia: Tunataka kwenda pamoja nanyi, kwa sababu tumesikia kwamba Mungu yuko pamoja nanyi.
Mimi ni rafiki ya wote wanaokuheshimu, rafiki ya wanaoshika kanuni zako.
Na juu ya waaminifu katika inchi, ninaheshimu nguvu zao.
Yawe awajalie, kila mumoja wenu apate mume na nyumba yake.” Kisha Naomi akawaaga kwa kuwabusu. Lakini wao walianza kulia kwa sauti
Naye Naomi akawasihi: “Murudi, wabinti zangu. Kwa nini kunifuata? Munafikiri ninaweza kupata tena watoto watakaokuwa waume zenu?
Akaondoka pahali pale alipoishi pamoja na wakwe zake, wakashika njia ya kurudi Yuda.