Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Obadia 1:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Enyi wazao wa Esau, mali yenu imenyanganywa, akiba zenu zote zilizofichwa zimevumbuliwa!

Gade chapit la Kopi




Obadia 1:6
8 Referans Kwoze  

Lakini nimemunyanganya Esau kila kitu, nimeyafunua maficho yake, wala hawezi kujificha tena. Watoto, wandugu na jirani zake wameangamizwa; hakuna hata mumoja aliyebaki.


Kwa mukubwa wa waimbaji. Zaburi ya Daudi. Ee Yawe, wewe umenichunguza, wewe unanijua mpaka ndani.


Anafunua siri na mafumbo, anajua kinachokuwa katika giza, mwangaza unakaa kwake.


Upanga ukuwe juu ya farasi wake na magari yake, juu ya majeshi yake yote ya mushahara, kusudi wakuwe sawa na wanawake! Upanga ukuwe juu ya hazina zake zote kusudi zinyanganywe.


Nitakupa akiba zilizofichwa na mali inayokuwa pahali pa siri, upate kutambua kwamba mimi ni Yawe, Mungu wa Israeli, ninayekuita kwa jina lako.


Watoto wao wachanga watapondwapondwa mbele yao, watanyanganywa nyumba zao, na watalala na wake zao kwa kinguvu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite