Obadia 1:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200216 Maana, kama walivyokunywa kikombe cha kasirani yangu kwenye mulima wangu mutakatifu, ndivyo mataifa jirani watakavyokunywa; watakunywa na kupepesuka, wataangamia na kuwa kama hawakukuwa mbele katika dunia. Gade chapit la |