Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Obadia 1:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 hamukupaswa kuingia katika muji wa watu wangu, siku walipopatwa na hasara, hamukupaswa kukamata mali zao, siku hiyo ya hasara yao,

Gade chapit la Kopi




Obadia 1:13
9 Referans Kwoze  

Lakini nimekasirikia sana mataifa ambayo yanastarehe. Nilikuwa ninayakasirikia kidogo, lakini yaliwaongezea hasara.


Wewe ulisema kwamba mataifa hayo mawili, ni kusema inchi ya Yuda na ya Israeli, ni mali yako na kwamba utazirizi! Ulisema hivyo ingawa humo ni makao yangu mimi Yawe.


Ulikuwa adui wa siku zote wa Waisraeli, ukasababisha watu wake wauawe kwa upanga, wakati wa musiba wao, wakati wa azabu yao ya mwisho.


Kundi la waovu limenizunguka; wananizunguka kama kundi la imbwa; wamenitoboa mikono na miguu.


Labda Yawe ataangalia mateso yangu, naye atanilipa wema kwa laana hii ninayopata leo.”


Hata waaskari wake wa mushahara ni kama wana-ngombe wanono; nao tena wamegeuka, wakakimbia pamoja, wala hawakuweza kuvumilia, kwa maana siku yao ya kuangamizwa imefika, wakati wao wa kuazibiwa umetimia.


Bwana wetu Yawe anasema hivi: Waadui zenu wamewazomea na kusema kwamba ninyi mumekuwa mali yao!


Kwa hiyo, wewe Ezekieli, toa unabii useme kwamba Bwana wenu Yawe anasema hivi: Watu wamewafanya ninyi milima ya Waisraeli kuwa tupu na kuwashambulia kutoka kila upande hata mumekuwa mali ya mataifa mengine, mukakuwa kitu cha kusimangwa na kuchekelewa kati ya watu!


Nimefurahia kuangamia kwa adui yangu, au kufurahi alipopatwa na hasara?


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite