8 ukoo wa Parosi: elfu mbili mia moja makumi saba na wawili;
wa ukoo wa Parosi: elfu mbili mia moja makumi saba na wawili;
Kati ya watu wengine wa Israeli kulikuwa: Wazao wa Parosi: Ramia, Izia, Malkia, Miyamini, Eleazari, Malkia na Benaya.
Waliporudi waliongozwa na Zerubabeli, Yesua, Nehemia, Azaria, Ramia, Nahamani, Mordekayi, Bilsani, Misipereti, Bigwayi, Nehumu na Bana. Hii ndiyo jumla ya watu wa ukoo za Waisraeli waliorudi toka katika uhamisho:
ukoo wa Sefatia: mia tatu makumi saba na wawili;