Nehemia 7:72 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200272 Basi, makuhani, Walawi, walinzi wa hekalu, waimbaji, pamoja na watu wengine, watumishi wa hekalu na watu wote wa Israeli, wakaishi katika miji yao. Gade chapit la |
Kwa hiyo kuhani Hilkia, Ahikamu, Akibori, Safanu na Asahiya, wote walikwenda kuomba shauri kwa mwanamuke mumoja nabii jina lake Hulda aliyekuwa muke wa Salumu mwana wa Tikwa, mujukuu wa Harihasi, mutunza nguo za hekalu. Wakati ule, Hulda alikuwa anaishi katika mutaa wa pili wa Yerusalema, nao wakazungumuza naye.