31 wa muji wa Mikimasi: mia moja makumi mbili na wawili;
amefika katika muji wa Ayati. Amepitia kule Migoroni, mizigo yake ameiacha katika muji wa Mikimasi.
wa muji wa Mikimasi: mia moja makumi mbili na wawili;
Wafilistini walipeleka kikundi cha waaskari kwenda kulinda njia ya Mikimasi.
Wafilistini walikuwa na magari elfu makumi tatu, waaskari elfu sita wapanda-farasi na kikundi cha waaskari wa miguu wengi kama muchanga wa bahari. Wote walipanda juu na kupiga kambi yao kule Mikimasi, upande wa mashariki wa Beti-Aweni.
wa miji ya Rama na Geba: mia sita makumi mbili na mumoja;
wa miji ya Beteli na Ai: mia moja makumi mbili na watatu;