Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Nehemia 6:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Nami nikamutumia jibu: “Hakuna jambo kama hilo. Habari hizo umezitunga wewe mwenyewe.”

Gade chapit la Kopi




Nehemia 6:8
12 Referans Kwoze  

Lakini ninyi munapakaa uongo chokaa, ninyi wote ni waganga wasiofaa kitu.


Paulo akajibu: “Mimi ninasimama mbele ya tribinali ya Mufalme wa Roma, na ni hapa ninapopaswa kusambishwa. Sikuwakosea Wayuda kosa lolote, kama vile wewe mwenyewe unavyojua vizuri.


Wakati Paulo alipofika, wale Wayuda waliotoka Yerusalema wakamuzunguka na kutoa mashitaki mengi mazito juu yake ambayo wao hawawezi kuhakikisha.


Baba yenu ni Shetani, nanyi munataka kutimiza sawa vile huyo baba yenu anavyotamani. Yeye ni mwuaji siku zote, naye hajasimama katika ukweli, kwa sababu ndani yake hakuna ukweli. Wakati anaposema uongo, masemi yake yanatokana na tabia yake, kwa sababu yeye ni mwongo na baba ya uongo.


Ninyi kikundi cha nyoka! Namna gani ninyi munaokuwa wabaya, munaweza kusema maneno mazuri? Kwa maana kinywa kinasema maneno yanayojaa ndani ya moyo.


Halafu wafalme hao wawili wataikaa kwa meza pamoja, lakini kila mumoja anamuwazia mwenzake uovu, na kudanganyana. Lakini hawatafanikiwa, maana wakati uliopangwa utakuwa bado haujatimia.


Hakuna anayemushitaki mwenzake kwa haki, wala anayejitetea kwa ukweli. Munategemea mambo ya bure; munasema uongo. Munafanya mipango ya kuleta hasara na kuzaa uovu.


Warafiki na wenzangu wanaepuka kuona mateso yangu, na wandugu zangu wanakaa mbali nami.


Mwovu anajipendelea mwenyewe, anafikiri uovu wake hautagunduliwa na kulaaniwa.


Kwa kuhakikisha wazo lako, umejiwekea manabii katika Yerusalema kusudi watangaze kwamba kuna mufalme katika inchi ya Yuda. Maneno haya yataelezwa kwa mufalme Artasasta. Hivyo ninashauri kwamba wewe na mimi tukutane na kuzungumuzia jambo hili.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite