4 Wakaendelea kunitumia ujumbe uleule mara ine, lakini nikawapa jibu lilelile.
Lakini hatukukubali kuwatii watu wale hata kidogo, kusudi ukweli wa Habari Njema uendelee kuchungwa kati yenu siku zote.
Basi wandugu zangu wapenzi, musimame imara bila kutikisika. Muendelee kumutumikia Bwana siku zote, mukijua kwamba masumbuko munayopata kwa ajili ya Bwana hayatapita bure.
lakini kwa sababu mujane huyu anazidi kuniuzi nitamupatia haki yake, kusudi asiendelee kufika hapa na kunikasirikisha.’ ”
Mujinga anaamini kila kitu anachoambiwa, lakini mwenye akili anachunguza hatua zake zote.
Alimushawishi kwa maneno mengi ya kubembeleza; kijana akashawishiwa kwa maneno yake matamu.
Delila akamwambia Samusoni: “Wewe umenichekelea. Umenidanganya. Tafazali, uniambie jinsi unavyoweza kufungwa.”
Delila akamwambia Samusoni: “Tafazali, uniambie asili ya nguvu zako, na jinsi gani mutu anaweza kukushinda na kukufunga.”
Basi, nikawatumia wajumbe, nikisema: “Kazi ninayoifanya ni ya lazima sana. Hivyo siwezi kufika kwenu kusudi kazi isipate kusimama.”
Kwa mara ya tano, Sanibalati akanitumia barua yenye kuwa wazi kwa njia ya mujumbe wake.