Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Nehemia 6:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Nilipokwenda kwa Semaya mwana wa Delaya mujukuu wa Mehetabeli, ambaye hakuruhusiwa kutoka kwake, akaniambia: “Twende tukutane katika nyumba ya Mungu na milango yake tuifunge kwa sababu leo usiku watakuja kukuua.”

Gade chapit la Kopi




Nehemia 6:10
21 Referans Kwoze  

Kisha, Yeremia akamupa Baruku maagizo haya: Mimi siruhusiwi kwenda katika nyumba ya Yawe.


Muji wote ukajaa fujo na watu wakakusanyika pale mbiombio. Wakamukamata Paulo na kumukokotea mpaka inje ya hekalu, na mara moja wakafunga milango yake.


Kila mutu anayefanya mabaya anachukia mwangaza, naye anakataa kuja kwenye mwangaza, kusudi matendo yake yasionekane wazi.


“Mufanye angalisho na manabii wa uongo; kwa maana wanakuja kwenu wakionekana kwa inje kama vile kondoo, lakini ndani, wao ni kama imbwa wakali wa pori.


Heri kungepatikana mutu mumoja kati yenu ambaye angefunga milango ya hekalu kusudi musiwashe moto usiokubaliwa kwenye mazabahu yangu! Sipendezwi nanyi na sitaikubali sadaka yoyote munayonitolea.


Lakini roho ya Mungu aliniingia na kunisimamisha wima. Kisha Mungu akaongea nami, akaniambia: Kwenda ujifungie ndani ya nyumba yako.


Asiyemwogopa Mungu anaangamiza wengine kwa kinywa chake, lakini mwenye haki anaokolewa kwa maarifa yake.


Mwovu anamufanyia mutu wa haki shauri baya, na kumusagia meno kwa chuki.


Unisaidie, ee Yawe! Watu wema wamekwisha; waaminifu wametoweka kati ya watu.


Nikatambua kwamba hakutumwa na Mungu, lakini alikuwa amelipwa na Tobia na Sanibalati atangaze mabaya juu yangu.


Wazao wa Harimu: Eliezeri, Isia, Malkia, Semaya, Simeoni,


Nikaita viongozi tisa wakuje kwangu: Eliezeri, Arieli, Semaya, Elnatani, Yaribu, Elnatani, Natani, Zekaria na Mesulamu, pamoja na waalimu wawili, Yoyaribu na Elnatani.


Tena, wamefunga milango ya baraza, wakazimisha taa, na hawajafukiza ubani wala kutoa sadaka za kuteketeza kwa moto katika Pahali Patakatifu pa Mungu wa Israeli.


Katika mwezi wa kwanza wa mwaka wa kwanza wa utawala wake, mufalme Hezekia akafungua tena milango ya hekalu, akaitengeneza.


Zaidi ya hayo, alikusanya vifaa vyote vya nyumba ya Mungu, akavikatakata vipandevipande, kisha akafunga milango ya nyumba ya Yawe na kujijengea mazabahu katika kila pembe ya Yerusalema.


Yoasi alikaa naye kwa muda wa miaka sita akiwa amefichwa ndani ya nyumba ya Yawe, wakati Atalia alipokuwa akitawala katika inchi.


Utafanya hivyo kwa sababu jamaa yote ya Ahabu itaangamia. Tena nitamwua kila mwanaume wa jamaa ya Ahabu akuwe mutumwa au mutu huru.


Tena aliongeza kujenga nguzo kuzunguka, kwa kutegemeza ukuta wa inje. Akatengeneza vyumba vya pembeni kila upande.


Bali-Hanani mwana wa Akibori alipokufa, Hadari akatawala pahali pake, na jina la muji wake likiwa Pau. Muke wa Akibori alikuwa Mehetabeli, binti ya Matiredi, binti ya Mezahaba.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite