Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Nehemia 5:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Niliposikia malalamiko yao, nikakasirika sana.

Gade chapit la Kopi




Nehemia 5:6
8 Referans Kwoze  

Nikawakaripia na kuwalaani, hata nikawapiga wamoja kati yao na kuwaongoa nywele zao. Nikawalazimisha kuapa kwa jina la Mungu, nikisema: “Wabinti zenu musiwaoeshe kwa vijana wao, wala wabinti zao wasiolewe na vijana wenu au na ninyi wenyewe.


Kama mukikasirika, musianguke katika zambi, kasirani yenu isidumu muchana kutwa,


Musa akakasirika sana, akamwambia Yawe: Usikubali sadaka za watu hawa. Mimi sijatwaa punda wa mutu yeyote, wala sijamuzuru mutu!


Musa akamalizia kwa kumwambia mufalme: “Watumishi wako hawa watanifikia na kuinama mbele yangu kwa heshima, wakinisihi niondoke katika inchi ya Misri, mimi pamoja na watu wote wanaonifuata. Nyuma ya hayo, nitaondoka.” Kisha Musa, akiwa amekasirika, akaondoka kwa mufalme wa Misri.


Yesu akawakazia macho kwa kasirani, akihuzunika kwa sababu ya ugumu wao. Akamwambia yule mutu: “Nyoosha mukono wako.” Akaunyoosha, nao ukakuwa muzima tena.


Nikakasirika sana na nikavitupilia inje vyombo vyote vya Tobia.


Nikaamua kukamata hatua. Nikawaonya wakubwa na wasimamizi, nikawaambia: “Munawatesa wandugu zenu.”


Ninashikwa na hasira kali, ninapoona waovu wakivunja sheria yako.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite