Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Nehemia 5:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Na wengine wakalalamika: “Tumeweka rehani mashamba yetu, mizabibu yetu hata na nyumba zetu kwa kupata ngano kwa sababu ya njaa.”

Gade chapit la Kopi




Nehemia 5:3
7 Referans Kwoze  

“Kukiwa masikini wa jamaa yenu katika miji ya inchi ambayo Yawe atawapa, musikuwe wachoyo na wagumu kwake.


Kukatokea waliosema: “Tafazali mutupatie ngano tukule kusudi tuweze kuishi kwa sababu sisi, wana wetu na wabinti zetu tuko wengi.”


Tena kukakuwa hata wale, waliolalamika, wakisema: “Kwa kulipa kodi ya mufalme juu ya mashamba na mizabibu yetu, tulipaswa kukopesha feza.


Leo hii muwarudishie mashamba yao, mashamba yao ya mizabibu, mashamba ya mizeituni na nyumba zao, hata na faida ya feza, ngano, divai, na mafuta ambayo mulikuwa munawalipisha.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite