Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Nehemia 4:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Halafu tukamwomba Mungu wetu na kuweka ulinzi juu yao, muchana na usiku.

Gade chapit la Kopi




Nehemia 4:3
8 Referans Kwoze  

Lakini Sanibalati, Muhori, Tobia, Mwamoni mutumishi wake, na Gesemi, Mwarabu, waliposikia hayo, wakatucheka na kutuzomea wakisema: “Ni kitu gani hiki munachotenda? Munataka kumwasi mufalme?”


Lakini Sanibalati wa muji wa Muhori na Tobia, Mwamoni, mutumishi wake, waliposikia kwamba nimekuja kwa kushugulikia hali njema ya watu wa Israeli, hawakufurahia kabisa jambo hilo.


Basi, mufanye mapatano na bwana wangu mufalme wa Asuria. Mimi nitawapatia farasi elfu mbili, kama mutaweza kupata waaskari wapanda-farasi.


Beni-Hadadi akawaambia: “Muwakamate wakiwa wazima. Hata kama wanakuja kwa vita au kwa amani.”


Beni-Hadadi akamutumia Ahabu ujumbe huu: “Miungu iniue ikiwa kule Samaria kutabakia mavumbi ya kutosha kwa kujaza vitanga vya mikono kwa kila mumoja wa watu wangu wengi wanaonifuata!”


Maana mulima Sayuni umeachwa utupu, mbweha wanazungukazunguka humo.


Kisha Sanibalati, Tobia, Gesemi, Mwarabu na waadui zetu wengine, waliposikia kwamba tumemaliza ujenzi wa ukuta na kwamba hakuna pahali penye kubomoka (ingawa tulikuwa bado hatujaweka milango),


“Na mwana haramu yeyote, wala muzao wake hata kizazi cha kumi, haruhusiwi kuingia katika kusanyiko la watu wa Yawe.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite