Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Nehemia 3:28 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

28 Juu ya Mulango wa Farasi kulikuwa kundi la makuhani, kila mumoja akajenga sehemu inayoelekeana na nyumba yake.

Gade chapit la Kopi




Nehemia 3:28
6 Referans Kwoze  

Basi, wakamukamata, na akaingia katika njia ya mulango wa Farasi wa nyumba ya kifalme, wakamwua huko.


Bonde lote walimozikwa wafu na kutupiwa majivu, mashamba yote, mpaka kijito cha Kidroni, mpaka pembe ya mulango wa Farasi kuelekea upande wa mashariki, litakuwa eneo takatifu kwa Yawe. Hakuna kitakachoharibiwa humo wala kubomolewa tena milele.


Basi, wakamukamata, wakamupeleka na kumupitisha kwenye Mulango wa Farasi kuelekea nyumba ya kifalme, naye akauawa kule.


Benjamina na Hasubu wakajenga upya sehemu inayoelekeana na nyumba yao. Azaria mwana wa Masea, mujukuu wa Anania, akajenga upya sehemu inayoelekeana na nyumba yao.


Sehemu inayofuata, inayoelekeana na nyumba yake ikajengwa upya na Yedaya mwana wa Harumafu. Sehemu inayofuata ikajengwa upya na Hatusi mwana wa Hasabunia.


Zadoki mwana wa Imeri akajenga upya sehemu inayoelekeana na nyumba yake. Sehemu inayofuata, ikajengwa upya na Semaya mwana wa Sekania, mulinzi wa Mulango wa Mashariki,


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite