Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Nehemia 3:23 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

23 Benjamina na Hasubu wakajenga upya sehemu inayoelekeana na nyumba yao. Azaria mwana wa Masea, mujukuu wa Anania, akajenga upya sehemu inayoelekeana na nyumba yao.

Gade chapit la Kopi




Nehemia 3:23
7 Referans Kwoze  

Haya ndiyo majina yao: Liwali wa jimbo: Nehemia, mwana wa Hakalia. Makuhani: Zedekia, Seraya, Azaria, Yeremia, Pasuri, Amaria, Malkiya, Hatusi, Sebania, Maluku, Harimu, Meremoti, Obadia, Danieli, Ginetoni, Baruku, Mesulamu, Abiya, Miyamini, Masia, Bilgayi, Semaya.


Walawi hawa ndio walisaidia kuwaelewesha watu Sheria: Yesua, Bani, Serebia, Yamini, Akubu, Sabetayi, Hodia, Maasea, Kelita, Azaria, Yozabadi, Hanani na Pelaya; na kila mumoja akiwa akisimama pale alipokuwa.


Ezra, mwandishi, alikuwa akisimama kwenye mimbari ya mbao iliyotengenezwa kwa kusudi lile; na kwenye mukono wake wa kuume watu hawa walikuwa wakisimama: Matitia, Sema, Anaya, Uria, Hilkia na Masea; na kwenye mukono wake wa kushoto kulikuwa kunasimama watu hawa: Pedaya, Misaeli, Malkiya, Hasumu, Hasubadana, Zakaria na Mesulamu.


Sehemu inayofuata, inayoelekeana na nyumba yake ikajengwa upya na Yedaya mwana wa Harumafu. Sehemu inayofuata ikajengwa upya na Hatusi mwana wa Hasabunia.


Sehemu inayofuata ikajengwa upya na makuhani waliokaa katika sehemu ya mabonde.


Kuanzia kwenye nyumba ya Azaria mpaka kwenye pembe ya ukuta ikajengwa upya na Binui mwana wa Henadadi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite