Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Nehemia 2:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Wakubwa hawakujua pahali nilipokuwa nimekwenda wala nimefanya nini. Tena nilikuwa sijawaambia Wayuda, makuhani, viongozi, wakubwa wala wale watu ambao wangefanya kazi ya kujenga upya muji.

Gade chapit la Kopi




Nehemia 2:16
4 Referans Kwoze  

Wakati ule wa usiku, nikapitia katika bonde na kuchunguza ukuta wa muji. Nikarudi nikipitia kwa Mulango wa Bonde.


Kisha nikawaambia: “Bila shaka munaona magumu yetu kwamba muji wa Yerusalema ni mabomoko na milango yake imeteketezwa kwa moto. Basi, tujenge tena ukuta wa Yerusalema kusudi tusifezeheshwe zaidi.”


Na Mungu hakuwazuru wale viongozi wa watu wa Israeli. Walimwona Mungu, wakakula na kunywa.


Mutu mwerevu anaficha maarifa yake, lakini wapumbafu wanatangaza upumbafu wao.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite