Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Nehemia 13:23 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

23 Tena wakati ule nikaona Wayuda waliooa wanawake toka Asidodi, Amoni na Moabu;

Gade chapit la Kopi




Nehemia 13:23
16 Referans Kwoze  

tunaungana na wandugu zetu, wakubwa wetu, katika kufanya kiapo na kwamba tukivunja kiapo hiki tutapata azabu, na tunaapa kwamba tutaishi kwa kufuata sheria ya Mungu ambayo alitoa kwa njia ya Musa, mutumishi wake; tena tutatii yote ambayo Yawe, Mungu wetu, anatuamuru; na kwamba tutashika maagizo na masharti yake.


Kuhani Ezra akasimama kwa kuzungumuza na watu, akawaambia: “Hamukukuwa waaminifu kwa kuoa wanawake wa kigeni, na hivyo mumeiongezea Israeli kosa.


Musishirikiane pamoja na watu wasioamini. Kwa maana kuna ushirika gani kati ya haki na uovu? Kuna mapatano gani kati ya mwangaza na giza?


Katika siku ile ya sherehe, kitabu cha Musa kikasomwa na ikajulikana kwamba Waamoni na Wamoabu hawaruhusiwi kuingia katika mukutano wa watu wa Mungu.


Hao wote walioa wanawake wa kigeni na wamoja kati yao walizaa na wanawake wale.


Hivyo, kwenye sehemu za chini za ukuta ambazo zilikuwa bado kumalizika, nyuma ya ukuta, katika pahali pa wazi, nikawapanga watu kulingana na jamaa zao wakiwa na mapanga, mikuki na pinde.


Nyuma ya Wafilistini kuliteka Sanduku la Mungu, walilibeba kutoka muji wa Ebeni-Ezeri mpaka katika muji wao wa Asidodi.


Mushike amri ninazowapa leo. Nitawafukuza mbele yenu Waamori, Wakanana, Wahiti, Waperizi, Wahivi na Wayebusi.


“Yawe, Mungu wenu atawafikisha kwenye inchi ambayo mutakwenda kufanya makao yenu na atafukuza mataifa mengi kutoka inchi hiyo. Mutakapoingia, atafukuza mbele yenu mataifa saba makubwa na yenye nguvu kuliko ninyi: Wahiti, Wagirgasi, Waamori, Wakanana, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi.


Solomono alipenda sana wanawake wa kigeni: binti ya mufalme wa Misri, wanawake wa Wamoabu, Waamoni, Waedomu, Wasidoni, na Wahiti,


na nusu ya watoto wao waliosema luga ya Kiasidodi au luga nyingine na hawakuweza kusema luga ya inchi ya Yuda.


Basi, sasa tufuate mufano wenu na tutende zambi hii kubwa ya kutomutii Mungu wetu kwa kuoa wanawake wa kigeni?”


Vijana hao walioa wabinti wa Kimoabu, Orupa na Ruta. Nyuma ya miaka kumi hivi,


Wabinti zetu hatutawaoesha kwa watu wa inchi hii na wala wana wetu hawataoa kwao.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite