Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Nehemia 12:29 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

29 vilevile kutoka Beti-Gilgali, eneo la Geba na Azimaweti, kwa sababu waimbaji walikuwa wamejijengea vijiji kandokando ya Yerusalema.

Gade chapit la Kopi




Nehemia 12:29
12 Referans Kwoze  

Watu wa kabila la Benjamina walikaa Geba, Mikimasi, Ai, Beteli na vijiji vinavyoizunguka.


wa muji wa Azimaweti: makumi ine na wawili;


Hukoki pamoja na mashamba yake ya malisho, na Rehobu na malisho yake.


Katika eneo la kabila la Benjamina walipewa miji mingine: Gibeoni pamoja na mbuga zake za malisho,


Basi, Yoshua akarudi mpaka katika kambi kule Gilgali pamoja na Waisraeli wote.


Kisha Yawe akamwambia Yoshua: “Leo hii nimewaondolea ile haya ya Misri.” Hivyo pahali pale pakaitwa Gilgali mpaka hivi leo.


(Milima hii iko ngambo ya muto Yordani, upande wa magaribi wa barabara kuelekea upande jua linakotokea, katika inchi ya Wakanana wanaoishi Araba kuelekea Gilgali.)


Wazao wa waimbaji wakakusanyika kutoka vijiji vya Yerusalema na vijiji vya Wanetofati,


Makuhani na Walawi wakajitakasa, vilevile wakatakasa watu, milango na ukuta.


Tena nikagundua kwamba Walawi hawakupewa haki zao; na matokeo yake ni kwamba Walawi na waimbaji waliokuwa wakifanya kazi pale mbele, sasa walikwisha kurudilia mashamba yao.


wa muji wa Beti-Azimaweti: makumi ine na wawili;


wa miji ya Rama na Geba: mia sita makumi mbili na mumoja;


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite