Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Nehemia 12:28 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

28 Wazao wa waimbaji wakakusanyika kutoka vijiji vya Yerusalema na vijiji vya Wanetofati,

Gade chapit la Kopi




Nehemia 12:28
7 Referans Kwoze  

na Obadia mwana wa Semaya mwana wa Galali mwana wa Yedutuni; na Berekia mwana wa Asa mwana wa Elekana; waliokuwa wakiishi katika vijiji vya Wanetofati.


Salma, mwanzilishi wa muji wa Betelehemu alikuwa babu ya: Wanetofati, Waataroti-Beti-Yoabu na nusu ya Wamenahati ni kusema Wazori.


Sanibalati na Gesemi wakatuma ujumbe kwangu wakisema: “Tukutane kwenye kijiji kimoja katika bonde la Ono.” Lakini walikusudia kunizuru.


Sehemu inayofuata ikajengwa upya na makuhani waliokaa katika sehemu ya mabonde.


vilevile kutoka Beti-Gilgali, eneo la Geba na Azimaweti, kwa sababu waimbaji walikuwa wamejijengea vijiji kandokando ya Yerusalema.


Tena nikagundua kwamba Walawi hawakupewa haki zao; na matokeo yake ni kwamba Walawi na waimbaji waliokuwa wakifanya kazi pale mbele, sasa walikwisha kurudilia mashamba yao.


Watu wa miji hii vilevile walirudi: wa muji wa Betelehemu na Netofa: mia moja makumi nane na wanane;


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite