28 Wengine walikaa katika muji wa Ziklagi, Mekona na vijiji vilivyoizunguka.
Siku hiyo, Akisi akamupa muji wa Ziklagi. Kwa hiyo, tangu siku hiyo muji wa Ziklagi ukakuwa mali ya wafalme wa Yuda.
Hazari-Suali na Beri-Seba pamoja na vijiji vilivyoizunguka.
Wengine walikaa katika miji ya Eni-Rimoni, Sora, Yarmuti;