2 Watu wakawasifu wale wote waliokubali kukaa katika Yerusalema.
Ninawapa heshima viongozi wa Israeli waliojitoa kwa mapenzi yao kati ya watu. Mushukuru Yawe!
nilimupa joto kwa nguo za manyoya ya kondoo wangu naye akanitakia baraka za shukrani ya moyo.
Waliokuwa karibu kuangamia walinitakia baraka. Niliwafanya wajane waone tena furaha ndani ya moyo.
Umurudishe kila siku magaribi kusudi usiku aweze kujifunika na kukutakia baraka. Kufanya hivyo ni jambo la uhaki mbele ya Yawe, Mungu wenu.
Watu wako watajitolea, siku utakapokwenda kuwapiga waadui. Juu ya milima mitakatifu vijana wako watakufikia, kama umande unaotokeza asubui mapema.
Muji wa Yerusalema ulikuwa mupana na mukubwa, lakini wakaaji wake walikuwa wachache na nyumba zilikuwa hazijajengwa.
Muuombee Yerusalema amani mukisema: “Wote wanaokupenda wakae katika amani!