Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Nahumu 3:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Waaskari wapanda-farasi wanashambulia, panga na mikuki inametameta; waliouawa hawana hesabu, kuna maiti nyingi sana; watu wanajikwaa juu ya maiti!

Gade chapit la Kopi




Nahumu 3:3
10 Referans Kwoze  

Jua na mwezi vilikaa kimya katika makao yao, vilipoona mwangaza wa mishale yako ikienda mbio, vilipouona mukuki wako ukimetameta.


Utakufa juu ya milima ya Israeli, wewe pamoja na makundi yako yote ya waaskari na mataifa yanayokuwa pamoja nawe. Nami nitaitoa miili yao ikuliwe na ndege wa kila aina na nyama wakali.


Basi, malaika wa Yawe aliingia ndani ya kambi ya Waasuria na kuwaua watu elfu mia moja makumi nane na watano. Kesho yake, wakati watu walipoamuka, waliona yale maiti yote.


Maiti zao zitatupwa inje; harufu ya maiti zao itasambaa; damu yao itatiririka juu ya milima.


Ngao za mashujaa wake ni nyekundu, waaskari wake wamevaa nguo nyekundu sana. Magari yao ya vita yanametameta kama ndimi za moto, yamepangwa tayari kwa kushambulia; farasi hawatulii kwa hamu ya kushambulia.


Basi, malaika wa Yawe aliingia ndani ya kambi ya Waasuria na kuwaua watu elfu mia moja makumi nane na watano. Kesho yake, wakati watu walipoamuka, waliona yale maiti yote.


Alimufukuza inje. Akaweka makerubi upande wa mashariki wa bustani ya Edeni wakiwa na upanga wa moto uliogeuka huku na kule, kwa kulinda njia inayokwenda kwenye muti wa uzima.


Wataangukiana ovyo kama mutu anayekimbia vita hata kama hakuna anayewafukuza. Hamutakuwa na nguvu yoyote kwa kuwashambulia waadui zenu.


Yawe atatoa hukumu kwa moto atawaazibu watu wote kwa upanga; nao atakaowaangamiza watakuwa wengi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite