8 Kisha Mungu akamwambia Noa na wana wake:
Nanyi muzae, mwongezeke, muzae kwa wingi, mwongezeke katika inchi.”
“Ninasimamisha agano langu nanyi na wazao wenu
Siku hiyo, Yawe akafanya agano na Abramu akisema: “Ninawapa wazao wako inchi hii, toka muto Nili wa Misri mpaka ule muto mukubwa wa Furati,