Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 8:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Kisha akangoja siku zingine saba, akatuma tena yule njiwa; mara hii, njiwa hakurudi kabisa.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 8:12
12 Referans Kwoze  

Hata hivyo, Yawe anangoja kuwasamehe, atasimama na kuwaonea huruma. Yawe ni Mungu wa haki. Heri wote wale wanaomutumainia.


Katika njia ya maamuzi yako tunakungojea ee Yawe; tamaa yetu ni kulikumbuka jina lako.


Siku ile, watu wote watasema: Huyu ndiye Mungu wetu! Tumemungojea atuokoe. Huyu ndiye Yawe tuliyemutazamia. Mukuje tufurahi na kushangilia kwa sababu ametuokoa.


Noa akangoja siku zingine saba, kisha akatuma tena yule njiwa.


Nitamungojea Yawe ambaye amejificha mbali na wazao wa Yakobo; nitamutumainia.


Umutegemee Yawe! Ujitie moyo, ukuwe hodari! Umutegemee Yawe!


Maono haya yanangoja wakati uliopangwa; ni maono ya ukweli juu ya mwisho. Kama yanaonekana kuchelewa, uyangojee; hakika yatafika, wala hayatachelewa.


Njiwa yule akamurudilia Noa saa za magaribi akiwa na tawi bichi la muzeituni katika midomo yake. Kwa hiyo Noa akajua kwamba maji yalikuwa yamepunguka katika inchi.


Enyi wenyeji wa Moabu, mutoke katika miji, muende kukaa chini ya mawe! Muige jinsi njiwa anavyojenga chicha chini ya jiwe.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite