Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 8:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Noa akangoja siku zingine saba, kisha akatuma tena yule njiwa.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 8:10
9 Referans Kwoze  

Nyuma ya siku saba, nitanyesha mvua juu ya inchi siku makumi ine muchana na usiku, na kila kiumbe chenye uzima nilichokiumba katika dunia nitakiangamiza.”


Lakini tukitumainia kitu tusichokiona, tunakingojea kwa uvumilivu.


Katika njia ya maamuzi yako tunakungojea ee Yawe; tamaa yetu ni kulikumbuka jina lako.


Nitamungojea Yawe ambaye amejificha mbali na wazao wa Yakobo; nitamutumainia.


Kwa mukubwa wa waimbaji. Zaburi ya Daudi.


Kisha akangoja siku zingine saba, akatuma tena yule njiwa; mara hii, njiwa hakurudi kabisa.


Nyuma ya siku saba, maji ya mafuriko yakaanza kuifunika inchi.


Lakini kwa vile maji yalikuwa yangali yakifunika inchi yote, yule njiwa hakupata pahali pa kutua, akarudilia Noa katika chombo. Noa akanyoosha mukono, akamutwaa na kumurudisha ndani ya chombo.


Njiwa yule akamurudilia Noa saa za magaribi akiwa na tawi bichi la muzeituni katika midomo yake. Kwa hiyo Noa akajua kwamba maji yalikuwa yamepunguka katika inchi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite