5 Noa akafanya yote kama vile Yawe alivyomwamuru.
Noa akafanya yote kama vile Mungu alivyomwamuru.
Lakini Yesu akawajibu: “Mama yangu na wandugu zangu ni wale wanaosikia neno la Mungu na kulishika.”
Nikichunguza amri zako zote, hapo kweli sitapata haya.
Basi, kazi yote ya hema la mukutano ikamalizika. Waisraeli walifanya yote kama vile Yawe alivyomwamuru Musa.
Ijapokuwa alikuwa Mwana wa Mungu, alijifunza kutii kwa njia ya mateso yale aliyopata.
Alijinyenyekeza na kutii mpaka kufa, ndiko kufa kwake juu ya musalaba.
Sasa kwa kuona munajua jambo hili, mutakuwa wenye heri kama mukilifanya.
Lakini Yesu akamujibu: “Ukubali kufanya hivi sasa. Kwa maana ni kwa njia hii tutatimiza mambo yote yanayokuwa ya haki mbele ya Mungu.” Basi Yoane akakubali.
Basi, Musa alitimiza kwa ukamilifu kabisa maagizo yote ya Yawe.
Halafu mama yake akawaambia watumishi: “Mufanye kila kitu atakachowaambia.”
Basi, Musa na Haruni wakafanya hivyo. Hakika, walifanya kama vile Yawe alivyowaamuru.
Kila aina yao waliingia dume na dike kama vile Mungu alivyomwamuru Noa. Kisha, Yawe akafunga mulango wa chombo nyuma ya Noa.