19 Maji hayo yakakuwa mengi sana juu ya inchi, yakafunika milima yote mirefu katika inchi.
Vilevile kufuatana na ile, dunia ya zamani iliangamizwa kwa mafuriko ya maji.
Kweli tumedanganyika sana kwa kutambikia huko kwenye vilima, hakika wokovu wa Israeli unatoka kwake Yawe, Mungu wetu.
Akizuia mvua, inchi inakauka; akiifungulia, inchi inaharibika.
Maji yakaendelea kuongezeka zaidi juu ya inchi na chombo kikaelea juu yake.
Yaliongezeka hata kufunika milima karibu metre saba na nusu.