18 Maji yakaendelea kuongezeka zaidi juu ya inchi na chombo kikaelea juu yake.
Maji yakafunika magari pamoja na wapanda-farasi. Jeshi lote la mufalme wa Misri lililokuwa limewafuatilia Waisraeli likakufa katika bahari. Hakukuponyoka Mumisri hata mumoja.
Mashua zinasafiri humo, na yule nyama mukubwa Leviatani uliyemwumba achezee humo.
uniokoe nisizame katika matope; uniokoe na hao wanaonichukia, unilinde salama kutoka shimo refu la maji.
Hao walifagiliwa mbele ya wakati wao, misingi yao imepelekwa mbali na maji.
Mafuriko yalidumu katika inchi kwa muda wa siku makumi ine. Maji yakaongezeka na kuiinua chombo, kikaelea juu ya udongo.
Maji hayo yakakuwa mengi sana juu ya inchi, yakafunika milima yote mirefu katika inchi.