Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 7:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Mvua ikanyesha juu ya inchi siku makumi ine, muchana na usiku.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 7:12
10 Referans Kwoze  

Nyuma ya siku saba, nitanyesha mvua juu ya inchi siku makumi ine muchana na usiku, na kila kiumbe chenye uzima nilichokiumba katika dunia nitakiangamiza.”


Naye Yesu alipomaliza kufunga kula chakula kwa muda wa siku makumi ine, muchana na usiku, akasikia njaa.


Mafuriko yalidumu katika inchi kwa muda wa siku makumi ine. Maji yakaongezeka na kuiinua chombo, kikaelea juu ya udongo.


Elia akaamuka, akakula na kunywa. Kisha akatembea kwa nguvu ya chakula hicho mwendo wa siku makumi ine, muchana na usiku, mpaka Horebu kwenye mulima wa Mungu.


“Nikakaa kwenye mulima kwa muda wa siku makumi ine, usiku na muchana, kama vile mbele. Yawe akanisikiliza kwa mara ingine tena na akakubali kutowaangamiza.


Kisha nikalala uso mpaka chini mbele ya Yawe, kama vile mbele, kwa muda wa siku makumi ine usiku na muchana. Sikukula chakula wala kunywa maji, kwa sababu ya zambi muliyokuwa mumetenda kwa kufanya maovu mbele ya Yawe kwa kumukasirikisha.


Nilipopanda juu ya mulima kupokea vibao vya mawe ambavyo kuliandikwa agano ambalo Yawe alifanya nanyi, nilikaa huko siku makumi ine, usiku na muchana; sikukula wala kunywa chochote.


Musa akaingia ndani ya lile wingu, akapanda kwenye mulima. Alikaa kule kwa muda wa siku makumi ine, muchana na usiku.


Vilevile kufuatana na ile, dunia ya zamani iliangamizwa kwa mafuriko ya maji.


Chemichemi za maji ya vilindi na madirisha ya mbinguni yakafungwa. Mvua ikazuiwa,


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite