21 Utwae vilevile aina zote za vyakula vinavyokuliwa, uvilinde kwa ajili ya chakula chenu na viumbe hivyo.”
Unafumbua mukono wako kwa moyo safi, unatimiza mahitaji ya kila kiumbe kinachoishi.
Anapatia kila kiumbe chenye uzima chakula. Wema wake unadumu milele.
Muangalie ndege wanaoruka katika anga: wao hawapandi mbegu wala hawavuni, wala hawaweki mavuno ndani ya gala, lakini Baba yenu anayekuwa mbinguni anawakulisha! Basi ninyi si wa lazima zaidi kuliko ndege wale?
Anawapa nyama chakula chao, na kulisha vitoto vya kibombobombo vinapomulilia.
Njia yao ikuwe ya giza na utelezi, wakifukuzwa na malaika wa Yawe!
Milima ambamo nyama wote wa pori wanamochezea inatoa chakula chake.
Ni nani anayewapa vibombobombo chakula chao, vitoto vyao vinaponililia mimi Mungu, na kurukaruka huku na kule kwa njaa?