Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 5:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Kisha kuzaa Seti, Adamu akaishi miaka mia nane, na kupata wana wengine na wabinti.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 5:4
17 Referans Kwoze  

Kisha kuzaa Noa, Lameki akaishi miaka mia tano makumi kenda na mitano, na kupata wana wengine na wabinti.


Kisha kuzaa Lameki, Metusela akaishi miaka mia saba makumi nane na miwili, na kupata wana wengine na wabinti.


Enoki alikuwa anashirikiana na Mungu. Kisha kuzaa Metusela, Enoki aliishi miaka mia tatu, na kupata wana wengine na wabinti.


Kisha kuzaa Henoki, Yaredi akaishi miaka mia nane, na kupata wana wengine na wabinti.


Kisha kuzaa Mahalaleli, Kenani akaishi miaka mia nane na makumi ine, na kupata wana wengine na wabinti.


Kisha kuzaa Kenani, Enosi akaishi miaka mia nane kumi na mitano, na kupata wana wengine na wabinti.


Kisha kuzaa Enosi, Seti akaishi miaka mia nane na saba, na kupata wana wengine na wabinti.


Katika ujana wao, wana wetu wakuwe kama mimea iliyostawi vizuri; nao wabinti wetu wakuwe wazuri kama nguzo zilizochongwa kwa kupamba nyumba ya kifalme.


Watoto ni urizi kutoka kwa Yawe; uzao ni zawadi yake kwetu sisi.


Aripakisadi alipokuwa na umri wa miaka makumi tatu na mitano, akazaa Sela.


Nanyi muzae, mwongezeke, muzae kwa wingi, mwongezeke katika inchi.”


Mungu akamubariki Noa na wana wake, akiwaambia: “Muzae, muongezeke, mujaze inchi.


Mungu akawabariki na kuwaambia: “Muzae, muongezeke, na mujaze inchi na kuitawala. Mutawale samaki wa bahari, ndege wa anga, na kila kiumbe chenye uzima kinachotembea katika dunia.”


Adamu alipokuwa na umri wa miaka mia moja na makumi tatu, alipata mutoto aliyefanana naye, na mwenye sura kama yake; akamwita Seti.


Adamu alikufa akiwa na umri wa miaka mia tisa na makumi tatu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite