Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 5:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Wakati Enoki alipokuwa na umri wa miaka makumi sita na mitano, akazaa Metusela.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 5:21
5 Referans Kwoze  

Kwa njia ya imani, Enoki alibebwa na Mungu toka katika dunia pasipo kufa. Naye hakuonekana tena, kwa sababu Mungu alimubeba mbinguni. Maana Maandiko Matakatifu yanasema kwamba mbele ya kubebwa kwake, Enoki alishuhudiwa kwamba alimupendeza Mungu.


Ni Enoki, mutu wa kizazi cha saba tangu Adamu, ndiye aliyetabiri zamani juu yao, akisema: “Musikilize, Bwana atakuja pamoja na maelfu na maelfu ya wamalaika zake watakatifu.


Yaredi akakufa akiwa na umri wa miaka mia tisa makumi sita na miwili.


Enoki alikuwa anashirikiana na Mungu. Kisha kuzaa Metusela, Enoki aliishi miaka mia tatu, na kupata wana wengine na wabinti.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite