2 “Mukusanyike musikie, enyi wana wa Yakobo, munisikilize mimi Israeli, baba yenu.
Hata simba wakali wanakosewa na kusikia njaa, lakini wanaomutafuta Yawe hawakosewi chochote kizuri.
Mwana wangu, unisikilize kwa uangalifu, ufuate mwenendo wa maisha yangu.
Umusikilize baba yako aliyekuzaa, wala usimuzarau mama yako akizeeka.
“Sasa basi, wana wangu, munisikilize: heri wale wanaofuata njia zangu.
Sasa wana wangu, munisikilize; mutege sikio kwa maneno ya kinywa changu.
Mwana wangu, ushike maneno yangu, uchunge amri zangu.
Mwana wangu, shika amri za baba yako, wala usisahau mashauri ya mama yako;
Mwana wangu, sikia hekima yangu, tega sikio usikie elimu yangu.
“Wewe Rubeni ni muzaliwa wangu wa kwanza, nguvu yangu na tunda la ujana wangu. Wewe unawapita wandugu zako kwa ukubwa na nguvu.
Mukuje, enyi vijana munisikilize, nami nitawafundisha kumwabudu Yawe.
Mukusanyike wote musikilize! Nani kati yenu alitabiri vitu hivi? Yule ambaye Yawe anamupenda atatimiza mapenzi yake juu ya Babeli, atawashambulia Wakaldea.