Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 49:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Macho yake ni mekundu kwa divai, meno yake ni meupe kwa maziwa.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 49:12
3 Referans Kwoze  

Ni nani wenye taabu? Ni nani wenye huzuni? Ni nani wenye ugomvi? Ni nani wenye malalamiko? Ni nani wenye vidonda bila sababu? Ni nani wenye macho mekundu?


Atafunga punda wake katika muzabibu na mwana-punda wake kwenye muzabibu bora. Atafua nguo zake katika divai, na kanzu zake katika divai nyekundu.


“Zebuluni ataishi pembeni ya bahari, kivuko chake kitakuwa pahali pa kuegesha mashua. Mupaka wa inchi yake ni Sidona.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite