Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 47:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Mufalme akamwuliza Yakobo: “Umri wako ni miaka mingapi?”

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 47:8
5 Referans Kwoze  

Kisha kuishi maisha marefu na ya fanaka, akakufa na kukutana na wazee wake.


Kisha, Yosefu akamuleta baba yake Yakobo kumwamukia mufalme. Naye Yakobo akamupa mufalme baraka zake.


Yakobo akamujibu: “Umri niliojaliwa kama musafiri ni miaka mia moja na makumi tatu. Miaka hiyo imekuwa michache na iliyojaa mateso, tena haijafikia hesabu ya miaka wazee wangu waliyoishi kama wasafiri.”


Basi, mufalme Daudi akamwambia Barzilayi: “Twende wote kule Yerusalema nami nitakutunza.”


Yakobo alikaa katika inchi ya Misri kwa muda wa miaka kumi na saba, mpaka alipofikia umri wa miaka mia moja makumi ine na saba.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite