Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 45:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Lakini akalia kwa sauti kubwa hata Wamisri wakamusikia. Vilevile watu wa jamaa ya mufalme nao wakamusikia.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 45:2
10 Referans Kwoze  

Na wote walilia sana wakimukumbatia na kumubusu.


“Ee Yawe, ninakusihi ukumbuke jinsi nilivyokutumikia kwa uaminifu na kwa moyo wangu wote na kutenda mazuri mbele yako.” Hezekia akalia kwa uchungu sana.


Yawe awajalie, kila mumoja wenu apate mume na nyumba yake.” Kisha Naomi akawaaga kwa kuwabusu. Lakini wao walianza kulia kwa sauti


Waisraeli wote pamoja wakalalamika na kulia usiku ule.


Yosefu akapanda gari lake la farasi, akakwenda kumupokea baba yake Israeli, kule Goseni. Alipomufikia baba yake, alimukumbatia na kulia kwa kitambo kirefu.


Yosefu akatoka pahali pale kwa haraka, kwa sababu ya hamu kubwa juu ya ndugu yake, akatafuta pahali pa kulilia. Akaingia ndani ya chumba chake na kuanza kulia.


Kisha Yosefu akamukumbatia Benjamina, ndugu yake, akalia. Benjamina naye akalia, wakiwa wanakumbatiana.


Akiwa angali analia, Yosefu akawakumbatia wandugu zake na kuwabusu. Hapo ndipo wandugu zake walipoweza kuzungumuza naye.


Yosefu akakwenda pembeni, akaanza kulia. Alipotulia, akarudi kuzungumuza nao. Kisha akamukamata Simeoni na kumufunga mbele ya macho yao.


Halafu nitawajaza wazao wa Daudi na wakaaji wa muji Yerusalema roho ya huruma na maombi, nao watamwangalia yule waliyemutoboa kwa mukuki; watamulilia kama vile mutu anavyolia kwa kifo cha mutoto wake wa pekee, au kama vile mutu anavyomulilia kwa uchungu muzaliwa wake wa kwanza.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite