Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 45:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Habari zile zilipofika kwa nyumba ya mufalme, kwamba wandugu za Yosefu wamekuja, zikamufurahisha sana na watumishi wake.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 45:16
15 Referans Kwoze  

Kwa safari ya pili, Yosefu akajitambulisha kwa wandugu zake, naye Mufalme wa Misri akapata kujua jamaa ya Yosefu.


Kundi lote likapendezwa na shauri hilo. Nao wakawachagua watu hawa: Stefano, mutu mwenye imani sana na aliyejazwa na Roho Mutakatifu, Filipo, Porokoro, Nikanora, Timoni, Permena na Nikolao, mutu wa Antiokia aliyekuwa amegeuka zamani kufuata dini ya Kiyuda.


Basi, muke wake Zeresi na warafiki zake wakamushauria hivi: “Kwa nini asitengenezewe muti wa kutundikia, wenye urefu wa metre makumi mbili na mbili? Kesho asubui, unaweza kuzungumuza na mufalme kusudi Mordekayi auawe juu yake, kisha uende ukule karamu na mufalme kwa furaha.” Wazo hilo lilimufurahisha Hamani, naye akatengeneza muti ule.


Yule atakayekupendeza zaidi, afanywe malkia pahali pa Vashiti.” Mufalme akaona shauri hilo ni jema, akafanya hivyo.


Wazo hilo likamupendeza sana mufalme na viongozi wake, akatimiza sawa vile Memukani alivyopendekeza.


Mupango huu ukamupendeza mufalme pamoja na watu wote waliokuwa wamekusanyika.


Watu wote waliyaona mambo hayo, nao walipendezwa; kama vile kila kitu mufalme alichofanya kilivyowapendeza.


ambaye aliwatangulia katika njia na kuwatafutia pahali pa kupiga kambi zenu. Usiku aliwatangulia kwa moto na muchana kwa wingu, kwa kuwaonyesha njia.


“Kwa hiyo inafaa sasa, ee mufalme, uchague mutu mwenye ujuzi na hekima, umupe kazi ya kuangalia inchi yote ya Misri.


Pendekezo lao likapendeza Hamori na mwana wake Sekemu.


Tena Abimeleki akamwambia Abrahamu: “Angalia, inchi hii yote ni yangu! Basi, chagua popote unapopenda, ukae.”


Lakini Abramu akamwambia Sarai: “Mujakazi wako yuko chini ya mamlaka yako. Umutendee jinsi unavyopenda.” Basi, Sarai akamutesa Hagari mpaka akatoroka.


Akiwa angali analia, Yosefu akawakumbatia wandugu zake na kuwabusu. Hapo ndipo wandugu zake walipoweza kuzungumuza naye.


Kwa hiyo, mufalme akamwambia Yosefu: “Uwaambie wandugu zako wawapakie punda wao mizigo, warudi kwa inchi ya Kanana,


Shauri Yosefu alilotoa likaonekana kuwa jema mbele ya mufalme wa Misri na watumishi wake wote.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite