Naye alimutoa mwana wake kama sadaka ya kuteketezwa kwa moto. Alipiga ramuli; aliaguza akishirikiana na waaguzi wanaosemezana na mizimu na wachawi. Alitenda maovu mengi mbele ya Yawe, akamukasirikisha.
Watumishi wa Beni-Hadadi walitambua kwamba masemi yake yalikuwa kitambulisho kizuri. Kwa hiyo wakasema: “Ndiyo, Ben-hadadi ni ndugu yako!” Ahabu akawaambia: “Mwende mumulete kwangu.” Basi, Beni-Hadadi alipofika, Ahabu akamuruhusu kuikaa pamoja naye katika gari lake la vita.