Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 44:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 yeye anakunywa nacho na kukitumia kwa kuaguza? Mumekosa sana kwa kufanya hivyo!’ ”

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 44:5
7 Referans Kwoze  

Lakini Labani akamwambia: “Basi uniruhusu nami niseme. Nimetambua kwa kuaguza kwamba Yawe amenibariki kwa sababu yako.


Naye alimutoa mwana wake kama sadaka ya kuteketezwa kwa moto. Alipiga ramuli; aliaguza akishirikiana na waaguzi wanaosemezana na mizimu na wachawi. Alitenda maovu mengi mbele ya Yawe, akamukasirikisha.


Musikule nyama yoyote pamoja na damu. Musifanye ulozi wala kuaguza.


naye Yosefu akawauliza: “Kwa nini mumefanya hivyo? Hamujui kwamba mutu kama mimi nina uwezo wa kuaguza?”


Watumishi wa Beni-Hadadi walitambua kwamba masemi yake yalikuwa kitambulisho kizuri. Kwa hiyo wakasema: “Ndiyo, Ben-hadadi ni ndugu yako!” Ahabu akawaambia: “Mwende mumulete kwangu.” Basi, Beni-Hadadi alipofika, Ahabu akamuruhusu kuikaa pamoja naye katika gari lake la vita.


Yule musimamizi alipowakuta akawaambia maneno hayo.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite