Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 44:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Walipokuwa wamesafiri mwendo mufupi tu kutoka muji, Yosefu akamwambia musimamizi wa nyumba yake: “Haraka! Ufuate wale watu, na utakapowakuta, uwaulize: ‘Kwa nini mumelipa mema muliyotendewa kwa maovu? Kwa nini mumeiba kikombe cha bwana wangu ambacho

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 44:4
9 Referans Kwoze  

Yesu akawaambia tena: “Nimewaonyesha matendo mengi mazuri kwa uwezo wa Baba. Ni kwa sababu ya tendo gani kati ya hayo munataka kunitupia mawe?”


Wananilipa mabaya kwa mazuri; nami pekee nimebaki ukiwa.


Mwenye kulipa mazuri kwa mabaya, mabaya hayataondoka katika nyumba yake.


Wananilipa mabaya kwa mazuri yangu, na chuki kwa mapendo yangu.


angalia, jinsi wanavyotulipa. Wanakuja kutuondoa katika inchi yako uliyoturizisha ikuwe urizi wetu.


Daudi alipomaliza kusema, Saulo akasema: “Hiyo ni sauti yako mwana wangu Daudi?” Saulo akalia kwa sauti.


“Basi, watu hao wote walipokwisha kufa,


Kulipopambazuka wakaruhusiwa kuondoka pamoja na punda wao.


Kwa hiyo wakararua nguo zao kwa huzuni. Kila mumoja wao akamubebesha punda wake muzigo wake, wakarudi kwa muji.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite