Katika mufuko wa yule mudogo kabisa, uweke kile kikombe changu cha feza, pamoja na feza yake.” Yule musimamizi akafanya kama vile alivyoamuriwa na Yosefu.
Mungu Mwenye Nguvu awajalie kupata huruma mbele ya mutu yule, awaachie yule ndugu yenu mwingine na Benjamina warudi pamoja nanyi. Kwa upande wangu, ikinipasa kupotelewa na wana wangu, basi!”