Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 43:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Hapo Israeli, baba yao, akawaambia: “Basi! Kwa vile ni lazima ikuwe hivyo basi, mufanye hivi: mutwae katika mifuko yenu sehemu ya mazao bora ya inchi yetu, mumupelekee zawadi yule mukubwa. Mumupelekee mafuta kidogo ya mukwaju, asali kidogo, ubani, marasi, kungu na lozi.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 43:11
37 Referans Kwoze  

Walipoikaa kwa kula wakainua macho na kuona kundi la Waisimaeli wakisafiri kutoka Gileadi kwenda Misri. Ngamia wao walikuwa wakibeba ubani, zeri na manemane.


Hakuna dawa ya kupakaa kule Gileadi? Hakuna muganga kule? Mbona basi watu wangu hawajaponyeshwa?


Hata watu wa inchi ya Yuda na ya Israeli walifanya biashara nawe; walikupa ngano, mizeituni, tini za kwanzakwanza, asali, mafuta na marasi kwa kununua vitu kwako.


Zawadi inamufungulia mutu milango; inaweza kumufikisha mutu mbele ya mukubwa.


Saulo akamwuliza: “Lakini tukimwendea, tutamupa nini? Angalia, mikate katika mifuko yetu imekwisha na hatuna chochote cha kumupa yule mutu wa Mungu. Tuna nini?”


Tulipoona kwamba amekataa shauri letu, tukanyamaza na kusema: “Mapenzi ya Bwana yafanyike.”


Watu wa Dedani walifanya biashara nawe. Inchi nyingi za kandokando ya bahari zilikuwa masoko yako makubwa. Watu wake walikuletea pembe za tembo na miti mizuri inayoitwa ebene kwa kununua vitu kwako.


Kuja mbio, ewe mupenzi wangu, kama paa au kitoto cha pongo juu ya milima ya marasi.


nardo na zafarani, muchai na mudalasini, ubani na udi, na mimea mingine yenye harufu nzuri.


Dada yangu, muchumba wangu; mapendo yako yananivuta ajabu. Ni bora kuliko divai, marasi yako yananuka vizuri kuliko viungo vyote.


Hasira inatulizwa kwa zawadi ya siri; kituliro kinachotolewa kwa uficho kinatuliza kasirani.


Watu wengi wanajipendekeza kwa wakubwa; kila mutu anataka kuwa rafiki wa mutu mwenye kupana.


Mutu asiyekuwa na akili anajitoa rehani kwa deni ya mutu mwingine.


Kasirani ya watu inasababisha tu sifa yako; walioponyoka katika vita watafanya sikukuu zako.


Wafalme wa Tarsisi na visiwa wamulipe kodi, wafalme wa Sheba na Seba wamuletee zawadi.


Onyesha, ee Mungu, nguvu yako kubwa; nguvu yako uliyotumia kwa ajili yetu.


“Kwenda uwakusanye pamoja Wayuda wote wanaokuwa katika muji wa Susani. Mufunge, musikule wala musikunywe kwa siku tatu, usiku na muchana, kwa ajili yangu. Na mimi na wajakazi wangu tutafanya vile vile. Kisha, nitamwendea mufalme, ingawa ni kinyume cha sheria. Kama ni kuuawa, niuawe.”


Wakati ule, mufalme Berodaki-Baladana mwana wa Baladani mufalme wa Babeli alisikia kwamba Hezekia alikuwa amegonjwa na sasa amepona, alimutumia ujumbe pamoja na zawadi.


Ahazi akatwaa feza na zahabu iliyokuwa katika nyumba ya Yawe na hazina iliyokuwa katika nyumba ya mufalme na kumupelekea kama zawadi mufalme wa Asuria.


alimwambia Hazaeli mukubwa wa waaskari wake: “Mumupelekee yule mutu wa Mungu zawadi umwambie aombe shauri kwa Yawe kama nitapona au hapana.”


“Tufanye mapatano ya ushirikiano kati yangu na wewe kama vile baba yangu na baba yako walivyofanya. Angalia, nimekutumia zawadi ya feza na zahabu; kwenda uvunje mapatano ya ushirikiano unaokuwa kati yako na mufalme Basha wa Israeli, kusudi aache mashambulizi juu yangu.”


Kila mumoja wao alimuletea zawadi: vyombo vya feza, vya zahabu, nguo, manemane, manukato, farasi na nyumbu. Zawadi hizi alizipokea kila mwaka.


Kiasi hicho si pamoja na zahabu aliyopata kwa wafanyabiashara na wachuuzi, kwa wafalme wote wa Arabia na watawala wa inchi ya Israeli.


Bwana wangu, ninakuomba upokee zawadi hii niliyokuletea, na uwape vijana wanaokufuata.


ibarikiwe kwa matunda bora yanaoiva kwa jua, kwa matunda ya kila mwezi,


Mungu Mwenye Nguvu awajalie kupata huruma mbele ya mutu yule, awaachie yule ndugu yenu mwingine na Benjamina warudi pamoja nanyi. Kwa upande wangu, ikinipasa kupotelewa na wana wangu, basi!”


Yakobo akamwambia: “Hapana! Kama kweli nimekubaliwa mbele yako, ninakusihi uipokee zawadi yangu. Hakika, kuona uso wako ni kama kuona uso wa Mungu, kwa vile ulivyonipokea kwa wema mukubwa.


Lakini, nimekwisha kuwaambia: Mutarizi inchi yao, mimi ninawapa inchi hiyo ikuwe yenu, inchi inayotiririka maziwa na asali. Mimi ni Yawe, Mungu wenu, niliyewatenga na mataifa mengine.


Kama tusingalikawia, tungalikuwa tumekwisha kwenda na kurudi mara mbili.”


Basi, wakatwaa zile zawadi na feza mara mbili ya ile ya mbele, wakakwenda Misri pamoja na ndugu yao Benjamina. Walipofika, wakakwenda na kusimama mbele ya Yosefu.


Nao wakatayarisha zawadi zao za kumupa Yosefu, kwa sababu walisikia kwamba watakula pamoja naye.


Yosefu, aliporudi kwake, wakamuletea zile zawadi walizokuwa nazo, wakainama mbele yake kwa heshima.


Wachuuzi wa Seba na wa Rama walifanya biashara nawe; walikuletea viungo vya chakula, mawe ya bei kali na zahabu kwa kujipatia vitu vyako safi.


na hivyo, nimeshuka kusudi niwaokoe toka mikono ya Wamisri. Nitawatoa katika inchi na kuwapeleka katika inchi nzuri na kubwa, inchi inayotiririka maziwa na asali, inchi ya Wakanana, Wahiti, Waamori, Waperizi, Wahivi na Wayebusi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite