Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Mwanzo 42:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Ingawa Yosefu aliwatambua kaka zake, wao hawakumutambua.

Gade chapit la Kopi




Mwanzo 42:8
5 Referans Kwoze  

Asubui mapema, Yesu akaonekana kandokando ya ziwa, lakini wanafunzi hawakutambua kwamba ni yeye.


Alipokwisha kusema maneno haya, akageuka nyuma, akamwona Yesu akisimama pale, lakini hakutambua kwamba ni yeye.


lakini macho yao yalizuizwa kumutambua.


Hizi ndizo habari za ukoo wa Yakobo. Yosefu, akiwa kijana wa umri wa miaka kumi na saba, alikuwa akichunga kondoo na mbuzi pamoja na wandugu zake, wana wa Biliha na Zilpa, wake za baba yake. Yosefu akakuwa anamujulisha baba yake juu ya tabia mbaya za wandugu zake.


Yosefu alikuwa na umri wa miaka makumi tatu alipoanza kumutumikia mufalme. Alitoka katika nyumba ya mufalme na kuitembelea inchi yote ya Misri.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite